#MAAGIZO - KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Magereza, Suleiman Mzee amepiga marufuku mazoea ya baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi hilo kulima mashamba yao, kufuga mifugo katika mazizi yanayomilikiwa na Jeshi pamoja na matumizi binafsi ya nguvu kazi ya wafungwa. #MagerezaTz