Maafisa washiriki katika Banda la Tume ya Utumishi wa Mahakama(kushoto) wakitoa maelezo namna Tume hiyo inavyotenda kazi zake mbele ya Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(wa pili toka kulia) katika mabanda ya Mahakama ya Tanzania alipotembelea leo Februari 2, 2019 katika Maadhimisho ya Wiki ya Sheria yanayoendelea jijini Dodoma.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com