Kamishna Jenerali wa Magereza  (CGP) Phaustine Kasike akisalimiana na baadhi ya wajumbe na viongozi wa Asasi ya kiraia ya JSI AIDS Free mara alipowasili leo Desemba 4, 2018  katika viwanja vya Morena Hotel jijini Dodoma kwa ajili ya ufunguzi wa kikao cha siku moja cha kutathmini ya mwenendo  wa  Mradi wa Uimarishaji wa Huduma za Ukimwi katika vituo vya afya vya polisi na magereza kwa mwaka 2017/18.

 

(Picha na Jeshi la Magereza)

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com