Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Kasike akizungumza katika Baraza la maafisa na askari wa vituo vya Magereza Mkoa wa Dar es salaam leo Septemba 26, 2018 lililofanyika Bwalo Kuu la Maafisa Magereza Ukonga.

Picha na Jeshi la Magereza

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com