Rais Mstaafu wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin William Mkapa akiweka saini kwenye kitabu cha wageni mara tu alipoingia kwenye banda la Magereza kwenye maonesho ya Nane nane yaliyofanyika Nyakabindi Bariadi Mkoani Simiyu.

 

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com