Kamishna wa Huduma za Parol,Viwanda, Huduma za jamii na Programu za Urekebishaji Af. Augustine Mboje Sangalali(suruali nyeupe) akisalimiana na Mkuu wa Kilimo,Mifugo na Utunzaji wa Mazingira, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza Mlasani Deodath Kimaro, alipotembelea Banda la Magereza katika maonesho ya Nane nane yanayofanyika Kitaifa Nyakabindi,Wilayani Bariadi mkoa wa Simiyu.
Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com