Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike akiangalia zao la mahindi katika shamba la mradi wa Kilimo Gereza Kuu Arusha leo Agosti 3, 2018 alipotembelea gereza hilo katika ziara yake ya kikazi. Shamba hilo linaukubwa wa hekari 150 na limelimwa katika msimu wa Kilimo mwaka 2017/2018. Matarajio ya mavuno ni zaidi ya gunia 2,500 yenye ujazo wa kilo 90(kushoto) ni Kaimu Mkuu wa Magereza Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Anderson Kamtiaro.

(Picha na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Makao Makuu ya  Jeshi la Magereza)

Kwa habari picha zaidi tembelea www.magereza.blogspot.com